Elimu ya mahaba

simulizi za kusisimua

KILA DEMU NA UTAMU WAKE

Watu waliomjua tangu akiwa na umri wa miaka 17 walidhani huenda ni umri unaomsumbua. Wakaamini kwamba atakapokuwa mtu mzima angeacha, haikuwa hivyo kwani kila siku, Boi ambaye jina lake halisi ni Lawrence Godfrey aliwabadili wanawake wa kila rika kama daladala zinavyopishana barabarani.
Mwanamke gani amtongoze na kumkosa? Sketi gani nzuri ipite mbele yake bila kuingia mikononi mwake? Jambo hili liliwafanya rafiki zake wajue kabisa huenda Boi anatumia dawa za kuwatia kiwewe wanawake wazidi kumpenda.
Kila rangi ya mwanamke, mwenye sifa za uzuri, Boi aliweza kumgusa na kuona mwisho wa raha zake.
Katika daftari lake la kumbukumbu za wasichana aliotembea nalo lilijaa, jambo ambalo lilimtisha sana rafiki yake aitwaye Dullah!
“Kaka, hivi unatumia kinga?” Dullah akavunja ukimya.
“Natumia kaka, kwani umeshawahi kusikia nina mtoto sehemu?”
“Hapana, ila punguza bwana…”
“Najaribu kupunguza nashindwa, wanawake wanatofautiana sana, ukikutana na huyu anaguna, mwingine analia, mwingine anacheka, mwingine ananyamaza kimya. Nakuambia ukweli, yupo mwingine anapiga kelele hadi mtaa wa tatu wanasikia.Tangu nimewajua, nimegundua wako tofauti kuliko watu wanavyofikiri…”
“Hapo napo kweli, lakini unawajuaje?”
“Kuwajua ni hapo unapokuwa nao kitandani…”
“Duh! Unajua sielewi kabisa.”
“Poa, hunielewi acha nikueleweshe.Ngoja nikuulize swali.”
“Uliza.” Dullah akadakia, akitega sikio vema.
“Hivi, sikio langu na lako lipo sawa?” Boi akamuuliza Dullah.
“Hapana, sikio langu refu kidogo na limepinda kama sikio la Popo, lakini lako dogo na limesimama kama la sungura…”
“Mmmh! Hata wanawake katika maumbo yao yametofautiana, mimi na wewe ni wanaume lakini tupo tofauti, unalijua hilo?”
“Nafahamu!”
“Mimi huenda Boi mkubwa kuliko Dullah!”
“Kabisa!”
Wakati wanajadili suala la mademu kutofautiana, simu ya Boi ikaanza kuita, akaitazama na kuachia tabasamu pana lililoshiba midomoni mwake.Hawakuwa sehemu nyingine isipokuwa chumbani kwa Boi wakipeana darasa la mahaba.
Getho la Boi lilikuwa maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Hospitali moja binafsi. Boi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, akiwa anasomea biashara. Dullah naye ni mwanafunzi wa chuo hicho hicho, mwaka wa pili. Ajabu ni kwamba pamoja na Dullah kumzidi daraja la elimu, Boi ndiye aliyefahamika zaidi kutokana na tabia yake ya kupenda na kupendwa na wanawake.
Simu iliendelea kuita, na wakati huu Boi aliwaza jibu gani ampe msichana huyo, siku hiyo alishawaahidi wasichana wawili na wote alipanga kulala nao kwa zamu. Matha hakuwa kwenye ratiba kabisa ya siku hiyo.
“Sikiliza, anapiga Maimatha…,” Boi alimbonyeza Dullah!
“Matha, huyu wa IFM!”
“Haswaa, sijui ni mwambie vipi, maana hapa nimeshaongea na Janeth, anakuja getho ili nimpe dawa.”
“Dawa gani?” Dullah alitaharuki, inamaana Boi ameshakuwa daktari?
“Hujui kuwa Janeth amesema anajisikia mgongo unamuuma sana, hivyo lazima nimnyooshe kidogo na kumpa dozi murua?” Alipotoa kauli hiyo, Dullah akacheka sana.

“Hivi unawezaje kutembea na wasichana wengi kiasi hicho bila kuwagonganisha?”
“Akili kaka, naenda na muda na uongo wangu kamwe sisahau. Pamoja na kuwa bingwa wa kuwachanganya, sitasahau gemu moja gumu. Siku moja nilikuwa na kiu sana, nikamuita Naomi aje saa nne ili saa sita nimuondoe na kumleta mwingine. Nikapanga miadi na Leila yule mtoto wa kigogo wa Bandari kuwa aje saa nane, kwasababu niliamini huenda wasingefika na ningekosa nikaongea na Mei kuwa siku hiyo ningelala naye getho kwangu.



Ajabu nilishapanga tena mechi na Richael, huyu dada ana duka la nguo Kariakoo mtaa wa Kongo kuwa usiku ningekutana naye anipe mautamu kabla ya kulala na Mei.
Sasa kwa bahati mbaya wote wakaja kwa wakati uliokaribiana sana na hapo ndipo balaa. Naomi alifika saa saba na nusu, na Leila anakaja saa nane, Mei naye aliwahi akidai anatamani tuwe pamoja kuanzia mchana hadi usiku, bila kunipigia simu akatia timu. Unaambiwa niliwapanga na kupiga chenga za Messi, kwanza aliyechelewa alipokaribia kufika akanipigia nikamwambia nimetoka kidogo baada ya kumsubiri sana, nikamtaka anisubiri baa ya jirani…ilibidi afanye hivyo. Leila aliyeenda na ‘time’ ikabidi nianze kumshughulikia haraka sana…waaaacha kabiiiisaa!”
“Uligawa vipi muda?”
“Sikiliza, simu yangu kwanza haina sauti na hata ninapokuwa na mwingine sipokei kabisa na kama niliamua kupokea basi niliongea kwa mafumbo kiasi cha kutoshtukiwa kama naongea na mwanamke…”
“Ehee…”
“Baada ya kucheza mechi ya muda mfupi na kuhakikisha kwamba wote tumefunga bao, nilimwacha na kwenda kwa mwingine na yule kumtelekeza chumbani.”
“Baadaye niligundua nimezidiwa na ili niwaweze, nikampigia rafiki yangu Frank kuwa amtulize hotelini nakuja, unaambiwa niliwapanga kama nyanya sokoni na kila mtu alipata dawa.”
“Dah! Boi, punguza bwana…”
“Nishakuambia, sijui ni laana au vipi, kila siku watoto wazuri wanazaliwa, na wote ni wazuri kuliko wa jana…”
“Mikorogo tu hiyo kaka,” Dullah akashusha pumzi baada ya kuwaponda.

kila demu na utamu wake

kila demu na utamu wake
... kila demu na utamu wake..

mara...

Simu ya Maimatha ilipokelewa, tena bila wasiwasi, Boi akamwambia kuwa amelimisi sana penzi lake.
“Weka loudspeaker!” Dullah alimnong’oneza sikioni Boi.
“Yaani, Boi…sijui nisemeje, nakupenda sana na juzi ulinichanganya, kila nikikumbuka naona heri nikuone…”
“Darasani leo umeingia?” Boi akauliza, hakutaka kukutana na mrembo huyo, alikuwa na miadi na Janeth, hivyo aliogopa kufumaniwa.
“Nimeingia kipindi cha asubuhi tu, dear…uko wapi?”
“Nipo maeneo ya Mwenge ila nataka kwenda Sinza.”
“Basi, nisubiri hapo kwako,” Maimatha alisema kwa sauti ya chini iliyojaa pumzi za mahaba.
“Nipo na Dullah, tumepitia saluni kunyoa,” Boi alitania akimbonyeza Dullah.
“Unanyoa nini?”
“Ndevu…”
“Hapana dear, usinyoe…nazipenda sana ndevu zako my darling. Mbona unataka kunitesa?”
“Acha nizinyoe washikaji wananicheka sana wananiita Osama, wengine kidevu.”
“Sikiliza Boi, usinyoe nitakupa elfu hamsini, kweli.”
“Sawa, unakuja?”
“Sasa hivi, nataka leo unipe mapenzi ya juzi, umesikia D wangu…”
“Ndiyo, nitakupandisha nitakushusha, utafurahi…,”
“Sawa, ngoja nikaache gari langu likiendelea kuoshwa kisha naja,” alisema Maimatha kwa sauti iliyojaa michujo ya mahaba. Sifa za mrembo huyu, alikuwa mrefu na mnene kiasi aliyebarikiwa wowowo la nguvu ambalo liliwacha wanaume wengi vinywa wazi alipopita mbele yao.

... inaendelea ndani ...

kilademu na utamu wake

kilademu na utamu wake
... na utamu wake..

Kitchen Party

NI ZAIDI YA KITCHEN PARTY

By Zubagy Akilimia

Kwanza kabisa napenda kuwapa HONGERA wanawake, sina budi kufanya hivyo ikiwa ni ukweli usipingika mwanamke ni kocha mchezaji wa familia mwenye umuhimu hasa kufundisha watoto, mumewe na hata majirani inapobidi. Kimsingi familia bila mwanamke bado haijasimama, lazima kiongozi wa pili awe  mwanamke, kwani siku zote tunafahamu kiongozi mkubwa ni baba!

Pamoja na baba kuongoza familia, naye huongozwa na mwanamke na akabadilika iwapo tabia yake inakuwa ndivyo sivyo.
Mfano mzuri, wapo wanaume ambao kabla ya kuoa walikuwa na tabia chafu hasa ya uzinzi, uasherati, wizi, uvuvi wa kufanya kazi, ufujaji wa pesa, walevi na hata wavutaji sigara lakini siku chache baada ya kuoa, walibadilika na kuacha mambo mabaya waliyokuwa wakiyafanya. Sababu ni nini? Mwanamke alifanya kazi hiyo. Hapo utakubaliana nami, kuwa mwanamke bado ni kiungo muhimu na kiongozi wa familia.

Zaidi mwanamke ana sifa kubwa sana ambayo huwezi kuifananisha na kitu chochote ndiyo maana wengi wanasema ‘mama ni mama’, nafahamu kiasi gani mwanamke anavyopata suluba nyingi maishani mwake, ndiyo maana wengi wanasema mama ni kila kitu. “Mama is the best’. Kuanzia leo mwanamke jisikie wewe ni zaidi ya kila kitu na majukumu uliyonayo ukiyafanya ndivyo sivyo na kwenda arijojo  utakuwa umeharibu familia nzima.
Mwanamke amekuwa akiteseka wodini wakati wa kujifungua, usiku kulea mtoto. Siku zote anapoteza nguvu zake kumnyonyesha mtoto, kumuogesha, kumvisha, kumlisha na mambo mengine kibao, huku pia akiwa mwalimu wa familia hasa kwa watoto.

 Ni jambo la kusikitisha sana. Zaidi mwanamke wengi hufia wodini wakati wa kujifungua kwasababu ya presha na kutokwa na damu nyingi hasa wale waliokeketwa.
Kutokana na hilo nasisitiza mwanamke ni bora na kiungo kiongozi wa familia.Baada ya hayo machache, mpenzi msomaji nachukua sekunde hizi kuzungumzia somo letu la ZAIDI YA KITCHEN PARTY. Katika kitabu hiki ni imani yangu wewe mwanamke utabadilika na kuwa mke bora ndani ya ndoa yako.

KUMTUNZA MUMEO

Huenda wengi wanaweza kushtuka pale wanapoona neno ‘kumtunza mumeo’, wanawake msishtuke kwani wengi siku zote mmezoea kusikia mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza mwanamke, lahashaa! Tunakosea sana wengi wetu! Fahamu kuwa nawe pia una kila sababu ya kumtunza mwandani wako.
Mbali na kulea familia, hasa watoto! Mwanamke unapaswa kumlea ‘mtoto mkubwa’ ambaye siku zote unambeba nyakati za usiku! Huyu unapaswa kuhakikisha anakuwa safi na mwanaume bora mbele ya jamii.
Najua wapo wanawake wengi wanashindwa kuwajali wanaume zao na kuwaacha kama kuku wa kienyeji, bibie utachekwa!
Hakikisha mumeo anakuwa ‘smart’ maridadi mwenye mvuto hata kwa macho, acha akuvutie uzidi kumpenda.

Usijaribu kumuacha ‘rafu’, wanawake wengi wanapoolewa wanawaachia house girl wawatunze waume zao, kuanzia kuwafulia nguo zao, tena bila woga huwaachia hadi zile nguo za ndani.
Loh! Mwanamke unapofanya hivyo unabomoa ndoa yako kwa mikono miwili, utakapoona mumeo anaanza tabia ya kujichekesha na ‘house girl’ wako unadhani nini kinaendelea? Unaanika aibu yako! Nguo za ndani hakikisha unafua mwenyewe! Tena si vema kuziweka hadharani, mnajidhalilisha wenyewe! Hakikisheni mnazificha kama mnavyoficha sehemu zenu za siri.

MWANDAE MWANAUME!

Nikisema mwanamke unapaswa kuamuandaa mumeo, simaanishi kimapenzi, mbali na kulea familia unajukumu la kuhakikisha unamlea vema ‘husband’ wako na kumtunza kwa kila kitu licha ya kwamba nawe unategemea matunzo muhimu na bora kutoka kwake.
Ninaposema una kazi ya kumwandaa, nazungumzia swala la mavazi, kabla mumeo hajatoka chumbani hakikisha ameshavaa nguo safi zinazoendana na viatu, suruali na shati. Tumia muda mwingi kumchagulia nguo gani anapaswa kuvaa ofisini, wakati wa mtoko ‘OUT’ siku za ‘wikiendi’ nk.
Zaidi ya hayo, nirudi katika ulimwengu wa mapenzi, mwanamke pia ana jukumu kubwa la kuhakikisha ndoa yake inadumu na anaiboresha zaidi kuliko kitu kingine. Je, anaiboreshaje ndoa yake, na ni mambo gani ya kufanya chumbani? Peruzi nikujuze...

USISUBIRI MWANAUME AKUOMBE!

Katika karne hii ya 21, ndoa zetu za wajanja wa mjini zimekosa nguzo imara, mara nyingi watu wamejiandaa kwa ‘harusi’ sherehe za ndoa lakini sio ndoa halisi, wanafanya fasheni kuoana bila kujua ndoa inahitaji kuimarishwa. Huwezi kupanda mmea jangwani ukategemea utaota pasipo maji, mbolea nzuri na hewa?. Jibu ni NO! Hali kadhalika, ndoa nayo inahitaji vitu vingi sana.
 Wanapoingia na kuwa wake halali wanasahau wajibu wao wa kutii sheria za ndoa za jamii yetu husika kwa ujumla.
Wanawake wengi wa ndoa ambao mara nyingi hawataki kujifunza wamekuwa kero sana kwa waume zao.
Unajua kwanini? Kwanza tangu kuolewa kwake hajawahi kumuomba mumewe mapenzi, licha ya kusumbuliwa na hisia za kuhitaji kitendo hicho anajikuta akiona aibu, woga na kujikuta akisubiri hadi mwanaume amwambie. Jamani, kufanya hivyo siyo poa! Haya, hivi mumeo naye akachuna ni kwamba utakaa tu kama boga la shambani? Hebu tukae na kufikiria suala zima la kuridhishana.
Wakati mwingine ‘ubize’ wa kazi unaweza kumsahaulisha mwanaume majukumu ya kiunyumba, ni wewe mwanamke unayepaswa kuomba penzi. Tena unapoomba hakikisha unashawishi wako katika mavazi umepitiliza, vaa nguo fupi zilizokuacha wazi, muonyeshe maeneo yako muhimu unayojua kabisa yanaweza kumdatisha na kujikuta akiungana naye kuutipisha usiku murua.
Usisubiri tu, kwani huna haki ya kuomba penzi, tena niwafundishe kitu. Ili kumkamata vema mume wako lazima uwe mjanja, hakikisha unamuonyesha mapenzi yote! Mfanye akutamani kila mara.
Zipo njia nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume akuone bora, kuwa karibu naye na mfanye rafiki yako na hata kuomba ushauri kila unapoona jambo fulani linakutatiza.
Kumnunulia zawadi ndogo ndogo ambazo kila anapokuona anajidhihirishia penzi lako la ukweli na si la kitapeli, jifunze kuwa na kauli nzuri, mambo ya kuropoka ama kumfokea mumeo utadhani mwanao acha! Acha kabisa, jaribu kulainisha mdomo wako utoe maneno matamu yenye harufu ya mahaba, angalia sio poa unajaribu kumpanda mumeo kichwani, kufanya hivyo ni ulimbukeni.
Nishangaa sana kusikia mwanamke anamlazimisha mumewe afanye mambo yasiyo na msingi.
Yupo dada mmoja aliolewa maeneo ya Sinza Kwa Remmy, tabia yake haikuwa nzuri sana,wivu wake ulipitiliza, kila mumewe alipotoka kazini, hakuruhusiwa kuingia chumbani na nguo, kwa amri aliamrishwa kuvua nguo punde anapoingia chumbani na kuziacha hapo chini, na mkewe kuanza kuzinusa na kuzikagua.
Hakuwa akimwamini mumewe, sasa ni mateso gani hayo? Hiyo siyo fresh! Mpe uhuru wa maisha yake na si kumkaba kiasi hicho, unadhani ukifanya hivyo ndiyo kumzuia asitoke nje? Fikiria na unapogundua mumeo ana tabia ya kukusaliti, hakikisha unarejesha penzi kwa kuongeza mapenzi na kumfanya awe karibu yako kuliko kitu chochote.
EPUKA NENO ‘SIJISIKII’
Ni maajabu sana mwanamke kumwambia mumewe ‘sijisikii’.  Kwanza kauli hii si nzuri na iwapo unahisi huhitaji kujumuika na mwenza wako, tumia lugha laini unayohakikisha itamridhisha na kumfanya asitoke nje.
Iwapo unamwambia hujisikii bila kunyumbulisha kutojisikia kwako ni rahisi kuanza kukufiria huenda kuna mahala unapata huduma hiyo ndiyo maana unamtosa kila siku kwa kusema ‘sijisikii’
Wanaume wengi wamekuwa wakinieleza maudhi na kero ambazo zimekuwa haziishia ndani ya ndoa, wengi wanadai wanapowataka wanawake zao kimapenzi hudai ‘Hawajisikii’ na ‘wamechoka’.
Kauli hizo zimekuwa zikiwafanya watafute mahala ambapo wanaweza kupata furaha, ni kweli wanaume wengi wao hawapendi usumbufu hasa wanapohitaji furaha na mapenzi.
Hata unapokuwa kwenye hedhi, yapo mambo unayoweza kumfanyia ‘sweetie’ wako akafurahi, akina dada wengi wanajua mapenzi lazima wakutane kimwili, siyo kweli. Fahamu kitendo cha kufanya ‘romance’ pia huchangia na huboresha penzi, licha ya kwamba wapo wanapofanya ‘romance’ hutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi. Ipo michezo ya kujumuika pamoja.
Usimbanie mumeo, utajikuta ukiingia kwenye maumivu ya kujitakia.

Maisha yana hatua nyingi hadi kufikia utu uzima, hatua kubwa na nzuri kabisa ambayo wengi wanaipitia ni maisha ya ndoa. Ni kitu muhimu na ndoto ya kila mtu,lakini kwa mwanamke ,akiwa kama mlezi, mlinzi na mwenye wajibu  mkubwa wa kuhakikisha maisha yanakwenda salama anatakiwa kuwa makini na ndoa.
Lakini bahati mbaya, wengi wa wasichana wa siku hizi wanachukulia kitendo cha kuolewa kama fasheni, ujiko au dhihirisho kwamba wao no wazuri wa sura, umbo au wajihi na hivyo kwao kuolewa ni zawadi ya kufanya wawakebehi  na kuwadharau wenzao ambao hawajapata bahati ya kuolewa.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni